Saturday, November 10, 2012

WALTER CHILAMBO AIBUKA KUWA MSHINDI WA EBSS 2012


 
 Mshindi wa shindano la Epiq Bongo Star Search 2012(EBSS),Walter Chilambo akikabidhiwa sanduku lake lenye kitita cha Sh. milioni 50 usiku wa kuamkia leo ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee,pia katika shindano hilo lililovuta hisia za watu wengi sana,mshindi wa pili amechukua mwanadada Salma Abushir(Zanzibar) na watatu ni Wababa Mtuka(Dar).







 
Mapoudaa!!!!!!!!





Vanessa Mdee na Shadee

 
Pah one

Linah na Amini

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...