Monday, September 17, 2012

SALOME KIULA NA FATMA HUSSEIN WAIBUKA WASHINDI MISS UTALII



Miss Utalii Wilaya ya Ilala, Salome Kiula (katikati) akiwa amepozi pamoja na mshindi namba mbili Caroline Yust (kulia) na mshindi wa tatu Lucy Julius.

Miss Utalii Wilaya ya Ilala, Salome Kiula (kulia) akiwa na Miss Utalii Wilaya ya Kinondoni Fatuma Hussein muda mfupi baada ya kutawazwa kuwa mamalikia wa utalii katika mashindano yaliyofanyika usiku wa kuamkia leo.

Miss Utalii Wilaya ya Kinondoni, Fatuma Hussein (katikati) akiwa na mshindi wa pili Duda Tumbo na Janeth Nelson



Miss Utalii mwenye kipaji Wilaya ya Ilala, Zourha Malisa

Miss Utalii mwenye kipaji Wilaya ya Kinondoni, Doreen Pereus








Mkurugenzi wa duka la uuzaji wa nguo za ndani za wanawake la Secret Lengerie, ambao ni wadhamini wa mashindano hayo, Fatna Tambwe akizungumza na umati wa watu waliofurika kushuhudia mashindano hayo.

Mkurugenzi wa duka la uuzaji wa nguo za ndani za wanawake la Secret Lengerie, ambao ni wadhamini wa mashindano hayo, Fatna Tambwe





Mkurugenzi wa duka la uuzaji wa nguo za ndani za wanawake la Secret Lengerie, ambao ni wadhamini wa mashindano hayo, Fatna Tambwe akitoa zawadi kwa miss utalii kiaji, Zourha Malisa








Mkurugenzi wa duka la uuzaji wa nguo za ndani za wanawake la Secret Lengerie, ambao ni wadhamini wa mashindano hayo, Fatna Tambwe katika picha ya pamoja na mamiss utalii Ilala na Kinondoni
















No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...