Saturday, August 11, 2012

MCHEZAJI ABAMBWA AKIWA AMEVAA CHUPI YA BIKINI UWANJANI

Sihitaji sana kutoa maelezo juu ya picha hii ambayo ukiangalia mwenyewe unaelewa mara moja, ingawa kidogo ninabaki na maswali ya kujiuliza kama hii Bikini jamaa alivaa kwa mapenzi yake mwenyewe au kulikuwa na shinikizo la nguvu za kiza, au jamaa ni Bwabwa??? .... naombeni maoni yenu pia Wadau kuhusiana na vazi hili kwa mwanaume tena uwanjani!!!!

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...