Friday, August 17, 2012

AIRTEL YATOA OFAKALI KWA WATUMIAJI WA HUDUMA ZA BLACKBERRY



Airtel Tanzania, waanzilishi wa huduma za Blackberry hapa Tanzania sasa wana ofa kali zaidi ya huduma za Blackberry Tanzania!
Sasa, Kwa Sh 3,500 TU kwa wiki utapata BBM, emails papo hapo, facebook, Twitter, kuperuzi internet ya 3.75G na zaidi!
Piga namba 148*77# kupitia simu yako ya Blackberry uchague kifurushi chako ufurahie dili poa zaidi ya Blackberry Tanzania, Kutoka airtel !

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...