Thursday, March 29, 2012

SUPER SHINE MODERN TAARAB WAJIMWAYA MWAYA USIKU WA VIDOLE JUU DAR LIVE

Mmoja wa viongozi wa Super Shine Modern Taarab, Hassan Zumo, akiimba.



Mcheza shoo wa bendi hiyo akitoa ‘machejo’ ya kiduku.

Bendi ya muziki wa mwambao ya Super Shine Modern Taarab, usiku wa kuamkia leo ilionyesha uwezo mkubwa wa baadhi ya waimbaji wake baada ya kila mmoja kupanda jukwaani na kuimba wimbo wake, ndani ya Kiwanja cha Taifa cha Burudani cha Dar Live, ilipokuwa ikitoa shoo ya ‘Usiku wa Vidole Juu’ ambao hupatikana kila siku ya Jumatano.

Baadhi ya wapiga vyombo na waimbaji wa bendi hiyo wakiwajibika.



Mmoja wa waimbaji wa kike wa bendi hiyo akionyesha uwezo wake.




No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...