Thursday, March 29, 2012

IDD AZZAN, AWA MGENI RASMI MIAKA 4 YA MAZOMBI CAMP

Aunt Ezekiel akimrisha keki Mh. Idd Azzan iliyokuwa imeandaliwa katika sherehe hizo.

MBUNGE wa Jimbo la Kinondoni Mh. Idd Azzan, usiku wa kuamkia leo alijichanganya kwenye sherehe ya kutimiza miaka minne ya Mazombi Camp zilizofanyikia kitongoji cha Ally Maua Kijitonyama jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa na watu wengi wakiburudishwa na wasanii wengine mbalimbali wa filamu na muziki, wakiwemo Aunt Ezekiel, Tip Top Connection, TMK Family, AT, Shilole, Godzillah, 20%, AY na Mwana FA, ambao walitoa burudani za kutosha

Shilole naye akirishwa keki hiyo.

Mh. Idd Azzan (wa kwanza kulia), akifuatilia burudani zilizokuwa zikitolewa mahali hapo.

 
AT akitoa burudani mahali hapo.

Wasanii kutoka kundi la TMK Family Chege na Temba wakikamua mahari hapo.

Dogo Janja akipagawisha mahari hapo.

Godzilah akionyesha uwezo wake.

Wasanii wanaounda kundi la Tip Top Connection Tunda Man na Madee wakipagawisha.

Aunt Ezekiel (katikati), akikata keki hiyo mapema kabla ya kumrisha Mheshimiwa na wageni wengine.

Mwenyekiti wa Mazombi Camp akirishwa keki hiyo.

Mmoja wa waigizaji wa filamu Daudi Kipunguni akirishwa keki kwenye hafla hiyo.

20% akitoa burudani mahari hapo.

Shilole akiwa amezingilwa na baadhi ya wadau wa Mazombi Camp, wakati akitoa burudani.

AT, Shilole na wanenguaji wao wakipagawisha.

Mh. Idd Azzan akiongea jambo wakati wa kuhitimisha sherehe hizo.

 
… akishuka jukwaani hapo.

Mashabiki waliofurika kwenye hafla hiyo wakiserebuka.

Muonekano wa umati huo.







No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...