Wednesday, March 28, 2012

TABIA HII YA UKEKETAJI  ITAKOMESHWA LINI?

NDUGU Watanzania wenzangu, Serikali yetu imekuwa ikikemea suala hili la ukeketaji kila kukicha lakini cha ajabu na kushangaza bado kuna baadhi ya makabila yanaendeleza mira hii. Swali la msingi na lakujiuliza kwa wote nani ataweza kukomesha tabia hii ikaachwa mara moja ???

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...