Wednesday, February 8, 2012



BASATA NA KILIMANJARO PREMIUM LAGER YATANGAZA MAJINA YA WATAKAOWANIA TUZO ZA KILI TANZANIA MUSIC AWARDS 2012



Meneja wa kinywaji cha Kilimanjaro George Kavishe akiongea na waandishi wa habari muda mfupi kabla ya kumkaribisha Mratibu wa tuzo za Kilimanjaro Music Awards Angelo Luhala tayari kwa kutaja majina ya watakaowania tuzo hizo.

MCHAKATO wa kuelekea kwenye utowaji wa tuzo za Kilimanjaro Music Awards 2012 umeaanza leo kwa kutangaza majina ya wasanii watakaowania tuzo hizo kupitia vipengele mbalimbali vilivyowekwa na waandaaji wa tuzo hizo ambao ni Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), kwa ushirikiano na kampuni ya TBL.





Mratibu wa tuzo hizo kutoka Basata Agelo Luhala (kushoto), akisoma majina ya wateule mbele ya wanahabari, huku akishuhudiwa na Meneja wa bia ya Kilimanjaro George Kavishe.



Baadhi ya waandishi wa habari waliofika mahari hapo wakisikiliza na kuchukua picha za tukio hilo.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...