Tuesday, August 16, 2016

HIVI NDIVYO HALI ILIVYO MAKAO MAKUU YA YANGA BAADA YA MANJI KUJIUZULU

Kutokana na taarifa kuwa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji kuamua kujiuzulu katika nafasi hiyo, kumekuwa na hali ya sintofahamu ndani ya klabu hiyo, hizi ndivyo pichani hali halisi ilivyo ndani ya makao makuu ya klabu hiyo muda mupi uliopita.

Ambapo wanachama na wapenzi wa timu hiyo wamekusanyika wakijadiliana juu ya majaaliwa ya klabu yao.



No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...