Tuesday, February 9, 2016

SOMA BARUA YA OMMY DIMPOZ UONE JINSI ALIVYOMTUKANA WAZIWAZI NAY WA MITEGO,AMBADILISHA JINA AMUITA DADA NEEMA!


Ommy Dimpoz
"Barua ya wazi kwa Neema wa Mitego kwanza pole kwa Malezi ya Watoto ambao mama zao wamekukimbia, hakuna Mwanamke ambae anaweza kuishi na mwanaume mwenye tabia za kike kama zako ?? inatakiwa ujiulize una tatizo gani maana km umaarufu mavi unao,nyumba unayo,magari unayo na hivyo ndo vitu dada zetu wanapenda lakini kwanini wanakukimbia pili kila nikiwaangalia watoto naona kabisa hamjafanana kuna umuhimu wa DNA Da Neema trust me. Vitu navyokula mimi wewe utaishia kuviona kwenye TV maana kuvipata mpaka uwe Unapanda sana Ndege sasa mimi najaza passport ya Tatu wakati wewe hata kurasa 4 za passport yako ya kwanza hujamaliza ??

Nay wa Mitego
Sasa wewe ushazoea wanawake zako wa jumuiya basi unataka kila mtu apost demu wake. Nimekujibu ili nikusaidie promo ya nyimbo yako Atleast upige na Vishoo baba ???? Sema nakuomba usirushe ngumi tu maana nakujua Mzee wa Kupanic Maana katika hao mabebi mama wako kuna mmoja nilishapitaga nae Uliza vizuri atakwambia kama jogoo anawika au vipi".??

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...