Muigizaji na mwanamuziki wa siku nyingi Dotnata akishushwa kwenye gari la wagonjwa katika Hospitali ya Taifa ya Muihimbili baada ya kupata ajali iliyompelekea kuvunjika mguu. |
Mwenzangu
naye alivamiwa na kundii la Panya road, majira ya saa kumi alfajiri, kwa sasa
kila mtu yupo kwake yaani ni shida maana adha hii imetupata siku
moja.
Kwa kifupi
tu mimi nimelazwa Katika Hospital ya Muhimbili Moi, mwenzangu yupo katika Hospitali ya
Hindmandal, Najuwa shetani alijiinua, ila hatuna sababu ya kumshukuru na
kumuomba Mungu atuepushe na kila lililo baya kwetu.
Pacha wa Dotnata akiwa Hospitali baada ya kuvamiwa na Panya Road ambao walimshambulia kiasi cha kujikuta akipoteza fahamu na kupelekwa katika Hospitali ya Hindmandal.
No comments:
Post a Comment