Makamu
wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Hamad Sharif Hamad, akiondoka katika
ofisi za Azam TV zilizopo Tabata jijini Dar es Salaam.
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad, leo asubuhi
ametembelea kituo cha televisheni cha Azam TV cha jijini Dar es Salaam.Akizungumza katika ofisi hizo baada ya kujionea shughuli zinazofanywa na kituo hicho, aliupongeza uongozi mzima wa Azam TV na hasa mkurugenzi wa kituo hicho, Tido Mhando, kwa uzoefu alionao akiamini televisheni hiyo itakuwa bora Afrika na dunia nzima.
No comments:
Post a Comment