Tuesday, May 26, 2015

TASWIRA ZA AWALI ZA TAMASHA KUBWA LA BURUDANI 'JEMBEKA FESTIVAL 2015


Mmoja wa wasanii washindani wa Mkali Jembeka akionesha ufundi wake katika hip hop kwenye fainali ndani ya Tamasha kubwa la burudani 'JEMBEKA FESTIVAL' lililozinduliwa Jumamosi ya tarehe 23/05/2015 uwanja wa CCM Kirmba jijini Mwanza na kuhudhuriwa na maelfu ya watu.  
Shengwe za wananchi kwa tamasha lililopigwa tangu saa 7 mpaka asubuhi siku iliyofuata na hapa ni mapema kabisa ngoma saa tisa huku burudani zikiwa tayari zimeshika kasi.
Ming'aro ya Mwanza wenyeji na wageni.
Mkali mwingine huyu hapa akionesha ufundi.
Dance la Jembeka wakali waliosisimua kwenye ushindani ndani ya Tamasha kubwa la burudani 'JEMBEKA FESTIVAL' lililozinduliwa Jumamosi ya tarehe 23/05/2015 uwanja wa CCM Kirmba jijini Mwanza na kuhudhuriwa na maelfu ya watu.   
'Shikilia'
JJ Band walikisanukisha ile mbaaaayaa...
Mkali toka A town Dogo Janja ni mmoja kati ya wakali wa Bongo Fleva waliozuka kutoa burudani kwenye Tamasha kubwa la burudani 'JEMBEKA FESTIVAL' lililozinduliwa Jumamosi ya tarehe 23/05/2015 uwanja wa CCM Kirmba jijini Mwanza na kuhudhuriwa na maelfu ya watu.  
Director Shahib wachaaaaaa......'Changamka' na 'Chemsha Ubongo'
'Mida ya night'
'Changamka'
Ze area at JEMBEKA FESTIVAL lililofanyika mwishoni mwa wikijijini Mwanza.
Mo  Music toka Mwanza.
Mensen Selector alikamua ile kisawasawa....
Kanyaboya ilibamba..
Toka kijiji cha Jembeka VIP Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Mhe. Stanslaus Mabula mwenye koti jekundu nyuma akiwa na wadau wa burudani akiwemo msanii Juma Nature.
Hisia....
Jembeka Red Carpet.
Pam D akiwa na shabiki wake.
Pam D (kushoto) akiwa na Baraka De Prince.
Rais wa Team Maua Classic 'Bob White Pamba' akihojiwa na mtangazaji wa 93.7 Jembe Fm mwanadada Jackline Shuma wa kipindi cha Hit Zone. 

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...