STAA wa sinema za Kibongo, Mahsein Awadh 'Dk Cheni',
jana ametua katika studio za Global TV Online zilizopo kwenye Ofisi za
Global Publishers Ltd, Mwenge-Bamaga na kufanya mahojiano.
Dk. Cheni amefika Global TV Online kwa ajili ya mahojiano ya Kipindi cha Mtu Kati kinachoruka kila wiki kupitia WWW.GLOBALTVTZ.COM
Ili kujua zaidi kuhusu alichofunguka Dk. Cheni ungana nasi wiki ijayo.
No comments:
Post a Comment