Kim Kardashian na Kanye West
wakiwa kwenye zulia jekundu wakati wa sherehe za jarida la Time
zilizofanyika jana jijini New York City , Marekani Kuwatukuza watu 100
maarufu zaidi duniani kwa mujibu wa jarida hilo.
Kim akijiachia katika zulia jekundu.
Kim na Kanye wakimuangalia mchekeshaji Amy Schumer akiwa amejilaza chini.
Kim na Kanye wakiondoka katika zulia jekundu.
Kim Kardashian katika pozi mbalimbali.
Kim akimsalimia Martha Stewart huku Kanye akiwaangalia.
Kanye akipeana mkono na muigizaji, Mia Farrow.
Mhariri Mtendaji wa jarida la Times, Nancy GIbbs (wa pili kushoto) akiwa na ,Kanye na Kim.
Kim (katikati), Laverne Cox (kushoto) na Naomi Campbell (kulia) wakiwa katika picha ya pamoja.
Kim akichukua matukio kwa kamera yake.
Kim akiwa katika picha ya pamoja na mchekeshaji Amy Schumer.
(PICHA: DAILY MAILY)
No comments:
Post a Comment