BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI MSATA
ZAIDI
ya abiria 60 wamenusurika kifo, baada ya basi la Dar Express lililokuwa
linatoka Dar kwenda Nairobi kupasuka tairi la mbele kushoto kisha
kupinduka katika eneo la Msata karibu na daraja la Wami mkoani Pwani
leo.
No comments:
Post a Comment