Nyota wa filamu za Kibongo Lungi Maulanga.
Chanzo makini kinasema hofu yao kubwa ni kuwa kitendo hicho
kilifanywa na baadhi ya ndugu zake kufuatia tofauti zao za kifamilia
zilizosababisha kufikishana mahakamani.“Katika shauri hilo mahakamani, yeye alishinda, sasa baada ya siku mbili akaanguka na kupoteza fahamu, alipozinduka akajikuta amepooza upande wa kulia, watu wanaunganisha tukio hilo na kesi ya mahakamani,” kilisema chanzo.
Gazeti hili lilimkuta Lungi akiwa amelala nyumbani kwake na alikiri kuanguka na kupooza na kwamba hawezi kutembea vizuri lakini anamtumaini Mungu kuwa hali yake itakaa vizuri kwani hana imani na mambo ya kishirikina.
No comments:
Post a Comment