Sunday, March 1, 2015

ANGALIA PICHA ZA MCHEZAJI STOKE 'ALIVYOCHINJWA' UWANJANI





Uwanja wa Britannia uemendelea kuwa nuksi kwa wachezaji, ukuwa na rekodi ya mchezaji wa Arsenal almanusra akatize maisha yake ya soka mwaka 2010 na sasa tena kuna 'mauaji' mengine yametendeka... Angalia picha.

Kiungo wa Stoke, Ireland akiugulia maumivu baada ya kuchezewa ndovyo sivyo na kiungo wa Hull City, Figueroa kulia.
Picha zinazomuonyesha kiungo wa Stoke City, Stephen Ireland baada ya kufanyiwa madhambi na mchezaji wa Hull City Maynor Figueroa katika mchezo ambao hata hivyo Stoke licha ya kukumbana na balaa hilo lakini wakashinda kwa bao 1-0.

Mchezo huo ulipigwa kwenye Uwanja wa Britannia, ambao ni Stoke, ikiwa ni miaka mitano sasa tangu rafu mbaya, yenye halufu ya tukio la wikindi hii lijitokeze ambapo nahodha wa Stoke, Ryan Showcross alivyomvunja mguu kiungo wa Arsenal, Arona Ramsey, mwaka 2010.

 
Ramsey wa Arsenal aliyeanguka chini, mguu wake uliojuu ukiwa umevunjika baada ya kuchezewa rafu na Showcross wa Stoke
 




No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...