Wednesday, April 2, 2014

SHAMSA ATESWA NA GENEVIEVE

MUIGIZAJI wa Bongo Movies, Shamsa Ford amefunguka anaumia sana na mafanikio ya waigizaji wa Nigeria kama Genevieve kwani ndoto yake ni kufanya zaidi ya wao.


Mwigizaji wa Bongo Movies, Shamsa Ford.

Shamsha alifunguka hayo wiki iliyopita na kudai kila siku wasanii wa nyumbani wamekuwa wakishindwa kufika levo za mastaa hao kwa kutokuwa na mipango endelevu.

Staa wa filamu za kinigeria Genevieve Nnaji

“Nina ndoto kubwa sana kufikia levo za kimataifa, inaniuma kuwaona kina Genevieve natamani kufanya nao kazi, basi tu. Acha nijitume,” alisema Shamsa.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...