Sunday, March 2, 2014

WEMA SEPETU AFANYA SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA KUIGIZA KWA WATOTO ENEO LA LEADERS JIJINI DAR LEO




Msanii wa Bongo Movie, Wema Sepetu na pia alikuwa ni jaji wa shindano la kusaka vipaji kwa watoto waliokuwa na umri kuanzia miaka minne(4) mpaka kumi na tano (15) akizungumza na mshiriki wa shindano hilo la kusaka vipaji kwa wanaojua kuigiza. Shindano hili limefanyika leo kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam na kuwapata watoto watatu waliokuwa wanaitajika.

Jaji Wema Sepetu akiwa na Jaji mwenzake Aunt Ezekiel walipokuwa wanawafanyia usahili watoto waliofika kwenye shindano la kusaka vipaji vya watoto wanaoweza kuigiza.

Msanii wa Bongo Movie, Wema Sepetu akicheza muziki na mmoja wa washiriki wa shindano la kusaka vipaji lililofanyika leo kwenye viwanja vya Leaders.


ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI

Director wa shindano la kusaka vipaji, Adam akizungumza jambo

Msanii wa Bongo movie na aliyekuwa Jaji, Wema Sepetu akizungumza na mtoto aliyekuwa anashiriki kwenye shindano la kusaka vipaji kwa watoto wenye miaka minne mpaka miaka 14.

Baadi ya washiriki waliofika wakiwa na wazazi wao kwenye shindano la kusaka vipaji vya watoto wanaojua kuigiza.

Mmoja wa watoto akiigiza kwa kulia mbele ya majaji (hawapo Pichani) katika shindano la kusaka vipaji vya kuigiza lililofanyika leo kwenye viwanja vya leaders Club.


Msanii wa bongo movie akiiigiza na mmoja wa washiriki wa shindano hilo la kusaka vipaji vya watoto kwani alileta hisia kali kwa kuigiza vizuri

Palikuwa hapatoshi kwenye Stage maana watoto walikuwa wanafanya ya kwao


Msanii wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel akiigiza na mmoja wa watoto waliokuwa kwenye shindano la kusaka vipaji.


Nae Adam (Kushoto) akuwa mbali maana hata yeye aliamua kuigiza na mmoja wa washiriki waliofika kwenye shindano hili

Wema Sepetu akiigiza na mmoja wa washiriki wa shindano la kusaka vipaji vya kuigiza

Baadhi ya washiriki wakiwa na wazazi wao




Hawa ndio watoto waliofanikiwa kuingia nusu fainali

Hawa watoto watatu ndio waliofanikiwa kushinda shindano hili mbalo liikuwa linahitaji watoto watatu

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...