Friday, March 7, 2014

DAVINA AMSHAURI WASTARA

Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma.

Stori: Gladness Mallya
BAADA ya staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma kutoa shukurani kwa wasanii wenzake zilizotafsiriwa kama anajitabiria kifo chake, msanii mwenzake, Halima Yahaya ‘Davina’ ameibuka na kumtaka asikate tamaa.


Halima Yahaya ‘Davina’.

Alisema alishtuka baada ya kuona maelezo gazetini (Ijumaa Wikienda) ambayo Wastara alimpongeza kama rafiki mwenye mchango na hakujua kama anathamini na kukumbuka vitu watu walivyomfanyia ila kikubwa amemtaka asikate tamaa kwa yote yaliyomtokea.
“Asikate tama, mitihani tumeumbiwa wanadamu, tunapaswa kuishinda,” alisema Davina.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...