Sunday, February 23, 2014

DKT. MAGUFULI ATEMBELEA ENEO ILIPOTOKEA AJALI YA MAGARI YALIYOTEKETEA KWA MOTO MIKESE, MOROGORO LEO

Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli amesafiri akitokea Mkoani Dodoma anakohudhuria Vikao vya Bunge la Katiba na kwenda moja kwa moja Morogoro maeneo ya Mikese (Kilomita kumi kutoka Mzani wa Mikese kuelekea Dar), ambapo magari mawili yaligongana na kuteketea kwa moto na kusababisha kifo cha mtu mmoja alietambulika kwa jina la Moud Amin.


Dkt. Magufuli akiangalia hali ya lori hilo mara baada ya kuwasili katika eneo la tukio, Mikese Morogoro.




Dkt. Magufuli akiongea na baadhi ya wahanga wa ajali hiyo.

Kwa Hisani ya Michuzi Blog

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...