Friday, January 24, 2014

YANGA WAINGIA DAR LEO KUIVAA ASHANTI


Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom nchini Tanzania Bara, Yanga wameshawasili salama jijini Dar es salaam wakitokea jijini Antalya nchini Uturuki walipokuwa wameweka kambi ya wiki mbili kwa ajili ya maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu na mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...