Monday, January 27, 2014

BREAKING NEWS:MCD WA TWANGA AFARIKI DUNIA USIKU HUU

Mpiga Tumba wa Bendi ya Twanga Pepeta Soudi Saidi 'MCD' akiwa kwenye pozi enzi za uhai wake

TAARIFA zilizotufikia hivi punde zinadai kuwa mpiga tumba wa zamani wa bendi ya Twanga Pepeta Soud Saidi 'MCD',amefariki Dunia jioni ya leo nyumbani kwao Moshi ambako alikuwa akiuguzwa kwa muda mrefu baada ya kusumbuliwa na maladhi kwa muda mrefu,yaliyompelekea kuwa nje ya bendi hiyo zaidi ya miezi mitano hadi leo anafikwa na mauti yake.
Innalilah wainaillah raajuin

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...