Sunday, November 24, 2013

JAYDEE,PROFESA JAY,BEN POL & JOH MAKINI KWENYE STEJI


Mashabiki wakipagawa na shoo ya P-Square.

......baada ya shoo kali ya masaa matatu, sasa inatosha Dar es salaam..asante sana...’tank yo! tank yo’!!!
Joh Makini akilitawala jukwaa.
Nikki wa Pili (kushoto) na G Nako wakifanya yao stejini.
Kundi la Weusi likiongozwa na Joh Makini likishambulia jukwaa la Leaders Club kabla P-Square hawajapanda usiku huu.
PMwanamuziki Joseph Haule 'Profesa Jay' akiwapagawisha vilivyo mashabiki waliohudhuria shoo ya P-Square Live in Dar ndani ya Viwanja vya Leaders Club vilivyopo Kinondoni jijini Dar.
Nyomi HAPO JUU baada ya kuikubali vilivyo shoo ya Profesa Jay.
LMwanamuziki Judith Wambura 'Lady Jaydee' au 'Anaconda' akiwapagawisha mashabiki wake waliohudhuria katika Viwanja vya Leaders Club usiku huu katika shoo wa wakali P-Square.
Watu... Jideeeeeeeeeeee...
Machozi Band nao walikuwepo kumback up Jide.
Mwanamuziki Ben Pol akiwasha moto katika steji ndani ya Viwanja vya Leaders katika shoo ya P-Square Live in Dar.
Nyomi ikifuatilia shoo ya Ben Pol.
Ben Pol akiimba sambamba na mwanadada.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...