Tuesday, September 10, 2013

HATIMAYE MAZISHI YA ZUHURA WA BONGO YAMETIMIA

 Msanii wa Bongo Movie Steve Nyerere akiwa ameduwaa wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Zuhura Maftah Malisa nyumbani kwao Mikocheni jijini Dar es Salaam leo
 Mtoto wa Marehemu akiaga mwili wa mama ake mzazi
 Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza tayari kwa safari ya kwenda kuusitili mwili wa marehemu katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar.

 Ndugu na jamaa wa Marehemu Zuhura wakiwa mbele ya jeneza.
 Msanii wa filamu Monalisa akiaga mwili wa marehemu
 Mussa Cloud akiaga mwili
 Dino akiaga mwili
 Kaburi likiwa tayari kwa maziko
 Jeneza la marehemu likiwa juu ya kaburi tayari kwa maziko
 Jeneza likizamishwa
 Mtoto wa marehemu akisaidiwa kumwaga mchanga kaburini
 Jeneza likiwa tayari shimoni
 Pendo wa Bongo Movie akiaga
Baadhi ya ndugu na jamaa wakiwa makaburini muda mfupi baada ya maziko.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI AMENI

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...