Tuesday, July 23, 2013

CANDY N CANDY RECORDS KUSAKA VIPAJI VYA BONGO FLEVA JUMAMOSI HII LAMADA HOTEL



Candy n Candy Records kutoka Kenya inakuletea tamasha la kusaka vipaji vya wasanii chipukizi wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania.
Ishu hiyo itafanyika Jumamosi hii,tarehe 27/7/013 ndani ya ukumbi wa  Lamada Hotel kuanzia majira ya saa 3 asubuhi hadi jioni. 
Majaji watakao simamia zoezi la utafutaji vipaji hivyo ni Tundaman,Mazuu, Mama Loraa na Joe mmiliki wa Candy n Candy Records kutoka Kenya.
Tamasha hili litakuwa ni bure yaani hakuna kiingilio chochote.


Mmiliki wa Candy n Candy Records Mr. Joe katika pozi

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...