Monday, June 24, 2013

OMMY DIMPOZI ALIVYOPIGWA CHUPA NA MAWE AKIWA STEJINI NA KUKATISHA SHOW YAKE MJINI DODOMA


JuziA DODOMA katika show ya Kilimanjaro Ommy Dimpoz na madansa wake wamejikuta wakiambulia kupigwa mawe na chupa jukwaani, hali iliyowafanya walikimbie jukwaa...
Pamoja na kupigwa mawe na makopo, jamaa walijikaza kisabuni mpaka baunsa akaamua kuwatoa jukwaani ili kunusuru roho zao.
Kisa cha kupigwa mawe nkinatokana na tusi la Ommy Dimpoz kwa marehem Ngwea...

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...