Monday, June 17, 2013

MWILI WA LANGA KUAGWA LEO NYUMBANI KWAO.



Mwili wa Marehemu Langa Kileo aliyefariki dunia wiki iliyopita unatarajiwa kuagwa leo nyumbani kwao mikocheni Dar es Salaam kwa mujibu wa ratiba ya mazishi iliyotolewa mwili wake utawasili nyumbani kwao asubuhi na heshima za mwisho kuanza kutolewa saa saba hadi saa nane baada ya hapo kupelekwa kwenye makaburi ya Kinondono kwa kuzikwa.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...