Tuesday, January 29, 2013

HATIMAYE LULU AACHIWA HURU KWA DHAMANA

 
Lulu akishuka katika gari la polisi baada ya kuwasili mahakamani leo.
 
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo imemwachia kwa dhamana msanii wa filamu, Elizabeth Michael 'Lulu' aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya kumuua msanii mwenzake wa filamu Steven Kanumba Aprili 7, 2012 bila kukusudia baada ya kukamilisha taratibu zote za dhamana.
Lulu akiingia katika chumba cha msajili wa mahakama ili kukamilisha dhamana yake.

Kutoka kushoto ni mama mzazi wa Lulu Lucresia Karugila, wakili wa Lulu bwana Kibatala na Dk. Cheni wakijadili jambo wakati wakisubiri dhamana ya Lulu.

Lulu (katikati) akitoka eneo la mahakama baada ya kukamilisha dhamana yake.

Lulu akiongea na wanahabari (hawapo pichani) baada ya kupata dhamana leo.

Lulu akiwa ndani ya gari baada ya kukamilisha dhamana yake.

Gari lililombeba Lulu likiondoka mahakamani.





No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...