Thursday, December 27, 2012

TIGO YATANGAZA OFA KUPIGA SIMU NNJE YA NCHI.


Meneja wa Bidhaa wa Kampuni ya simu za mikononi ya Tigo Bulla Bona, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu ofa ya msimu wa sikukuu ya hudumuma ya Xtrime Pack itakayowawezesha wateja kupiga simu kwa gharama nafuu zaidi kwenye nchi 6, UK, USA, Canada, India, Hong Kong or China, dakika 5 kwaTsh 150.

Waandishi wa habari wakiwa kazini kuchukua picha wakati wa kutangaza ofa hiyo jijini Dar es Salaam leo.

Meneja wa Bidhaa wa Kampuni ya simu za mikononi ya Tigo Bulla Bona, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu ofa hiyo, kulia ni Tulli Mwaikenda kutoka Tigo.

Kila kitu ni muhimu kwa picha.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...