Askari wa JWTZ wakiwa wamebeba moja ya jeneza la mwili wa askari wa3 wa jeshi hilo waliofariki kwa ajali ya maji wakivuka mto Lamada, Sudani walikokwenda kulinda amani chini ya Jeshi la Umoja wa Mataifa muda mfupi kabla ya kuiaga miili hiyo Lugalo jijini Dar es Salaam.
Friday, September 7, 2012
MIILI YA ASKARI WA JWTZ WALIOKUFA NCHINI SUDANI YAAGWA LEO
Askari wa JWTZ wakiwa wamebeba moja ya jeneza la mwili wa askari wa3 wa jeshi hilo waliofariki kwa ajali ya maji wakivuka mto Lamada, Sudani walikokwenda kulinda amani chini ya Jeshi la Umoja wa Mataifa muda mfupi kabla ya kuiaga miili hiyo Lugalo jijini Dar es Salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment