Thursday, September 27, 2012

KUMEKUCHA TANZANIA LIVE MUSIC FESTIVAL KESHO.



Mkurugenzi wa Edge Entertainment, waandaaji wa Tanzania Live Music Festival, Edwin John Ngeh akizungumza na Waandishi wa Habari leo asubuhi, viwanja vya Leaders kuhusu tamasha hilo kesho. Wengine kulia kwake ni Charles Baba, kushoto wake, Jacqueline Wolper, Kikumbi Mwanza Mpango ‘King Kiki’ na Tarcise Masela.

Tamasha la muziki Tanzania, (Tanzania Live Music Festival) linafanyika kesho katika viwanja vya Leaders, Kinondoni, Dar es Salaam, likishirikisha bendi zaidi ya saba na wasanii wengine mbalimbali.
Bendi hizo ni Sikinde, Msondo, B. Band, Mashujaa Band, Akudo Impact, FM Academia, Mashauzi Classic na Wazee Sugu. Malkia wa mipasho, Khadija Kopa pia atakuwepo.

Timu ya Tamasha kesho


Mwandishi Vicky Kimaro akichukua habari

Timu

Jacqueline Wolper akizungumza na Chalz Baba, wote wakuwepo kesho 
Mkurugenzi wa Edge Entertainment, waandaaji wa Tanzania Live Music Festival, Edwin John Ngeh akizungumza na Baba na Jacqueline Wolper
King Kiki akiwa na Bin Zubeiry

Tarcise Masela kushoto akizungumza na Waandishi. kulia King Kiki


Baby Lucas wa Msondo kushoto akizungumza na Waandishi. Kulia kwake ni Ally Jamwaka wa Msondo na Masela


Thabit Abdul wa Mashauzi Classic (kushoto) akizungumza na Waandishi


Banana Zahir Ally Zoro wa B. Band kulia akikzungumza. Kushoto ni Jacque Wolper
King Kiki akizungumza kwa hisia kali. Kushoto ni Masela.
Jamwaka kushoto na Masela kulia
DIMBA TEAM ENZI HIZO; Kutoka kulia Timzo Kalugiwa sasa yupo Habari Leo, Mahmoud Zubeiry, sasa yupo bongostaz.blogspot.com, Elizabeth Mayemba, sasa yupo Majira na Said Makala sasa yupi Channel Ten na Magic FM

Wasanii mbalimbali watakaoshiriki tamasha hilo, leo wamezungumza na Waandishi wa Habari Leaders asubuhi na kuahidi kufanya mambo makubwa kesho.

habari/picha: bin zubeiry blog

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...