Monday, August 6, 2012

PICHA ZA MSIBA WA MAMA WA P SQUARE NIGERI



Mama mzazi wa waimbaji Peter na Paul Okoye wanaounda kundi la P-Square alifariki dunia july 11 2012 baada ya kuugua kwa muda mrefu, na alipelekwa India miezi michache iliyopita baada ya kuzidiwa.

Mrs Okoye alikua mmoja kati ya watu waliowasaidia sana P Square kufanya vizuri kwenye muziki ikiwemo kuwapa ushauri watoto wake hao ambao sasa hivi wamepanda ngazi na kufanikiwa mpaka kufanya kazi na wakali wa dunia kama Akon pamoja na Rick Ross.

Hili ndio gari lililobeba jeneza la mwili wa marehemu. 

Kwa mbele ya gari waliwekwa hii picha ya Marehemu.

Mabango ya msiba mpaka barabarani.


Pater na Paul wakiwa kwenye upande wa kulia na kushoto mwa jeneza la mama yao mzazi.
















Marehemu mama mzazi wa Peter na Paul wa P Square. 
Habari/picha: Milard Ayo blog

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...