Friday, August 3, 2012

HII NDIYO HALI HALISI ALIVYOTAITIWA DIAMOND



Diamond akiwa kitandani tayari kwa uchunguzi.
 
 HAYA NI MANEO YA DIAMOND KAMA VIPI TILILIKA NAYE HAPA CHINI:
 
"Diamond hatunae tena"....hiyo ndo ingekuwa heading na kichwa cha habari cha media na watu wengi kwenye social networks na simu zao za mikononi kwa siku ya jana....Kiukweli hali yangu ilikua ni mbaya sana,nilizidiwa na homa kali ya ghafla iliyosababishwa na kifua kilichonisumbua kwa takribani wiki mbili mfululizo....hadi kupelekwa Heameda Medical Clinic kwa Doctor Hery M. Mwandolela, Specialist wa Heart and Cough kwa uchunguzi na vipimo vikubwa maana hali haikuwa ya kawaida.....namshkuru Mwenyezi Mungu baada ya vipimo vyote iligundulika ni kifua cha kawaida tu ila kilisababishwa na tour na ziara nyingi nilizozifanya mikoa na nchi mbalimbali kwa mfululizo bila mapumziko ya kutosha..
kwa sasa hali yangu si mbaya sana...nawashukuru wote mliokuwa mkiniombea kupitia Blogs, Twitter, Bbm, Facebook...etc, na Media zote niweze recover.


Daktari akishughulikia vipimo


Diamond akifanyiwa uchunguzi wa kina.


...baada ya kuanza kujitambua
Mashine iliyokuwa ikitumika kumfanyia uchunguzi Diamond

.... akiwa hoi




No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...