Thursday, August 30, 2012

Gadna G Habash aibukia Times FM


Aliyewahi kuwa mtangazaji wa Clouds FM kupitia kipindi cha Jahazi,Gadna G Habash ametambulishwa rasmi leo mbele ya wafanyakazi wenzake wakiwemo na wanahabari wengine waalikwa kupitia kituo kingine cha redio,Times FM ya hapa jijini Dar es Salaam .Gadna ataanza kusikika katika kituo hicho kupitia kipindi chake kitakachoitwa Maskani kuanzia Jumatatu Ijayo mnamo saa kumi mpaka kumi namoja jioni.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...