Hassani Mzonge akimwelekeza mmoja wa mabondia wa Timu ya Taifa jinsi ya kupishanisha ngumi wakati unapigana.
Makocha wa timu ya Taifa wakiwaonesha mabondia jinsi ya ngumi zinavyopishanishwa wakati wa mchezo. Kushoto ni Hassani Mzonge na Edward Luyakwipa.
No comments:
Post a Comment