Thursday, August 16, 2012

Bus La Muhamed Trans Lapata Ajali Km 15 Kutoka Bukoba Mjini




RPC Kelenge kulia akijadili jambo na RTO Willy eneo la tukio

Bus la muhamed trans lenye nambari T884 likiwa limepinduka

Lori lenye nambari T814 liliokua baada ya kugongwa na bus kwa kutokea nyuma.






Ajali hii imetokea asubuhi ya leo majira ya saa moja kasoro ni eneo la kyetema km 5 kabla ya kifika kemondo na ni umbali wa km 15 kutoka bukob mjini. Baada kwa kuligonga lori la mchanga bus hilo lilikua likisafiri kutoka bukoba mjini kuelekea Mwanza, na abiria wote wamenusurika!

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...