Thursday, July 26, 2012

HII NDIO KIGALI YA SASA, USIULIZE MIAKA IJAYO!




(hii picha ni kutoka kwa Alpha Rwirangira )

Rais Paul Kagame wa Rwanda amekua miongoni mwa marais wachache wa Ulimwengu wanaopewa sifa nyingi za kweli kuhusu msimamo wao, mipango yao na hata utekelezaji wa hiyo mipango waliyonayo.

Kwa taarifa nilizonazo Rais Kagame ameweza kuibadili Rwanda kwa kiwango kizuri sana ikiwa ni pamoja na nchi kuwa safi, kukua kiuchumi, kujengeka kimpangilio pamoja na ishu nyingine, sasa hivi sehemu kubwa ya mji wa Kigali umejengwa kwa mujibu wa ramani inayotakiwa, nyumba za kuishi zilizo kwenye mpango kama miji mingine ya nchi zilizoendelea, pamoja na barabara za ndani za Kigali kuwekwa mawe kitaalamu kuondoa vumbi kwenye mji.

Nyumba zilivyojengwa kimpangilio kwenye mji wa Kigali.

Huu ni mfano wa jinsi Kigali Rwanda ilivyopangwa, kujengwa katika miaka michache ijayo according to topboxdesign.
Habari/picha:Milard Ayo blog

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...