Monday, June 25, 2012


KALALA JUNIA NDANI YA EXTRA BONGO

Wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo wakicheza wakati wa onyesho la Bendi hiyo kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salaam

Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ally Chocky(kulia) akiimba sambamba na waimbaji wake wakati wa onyesho la Bendi hiyo kwenye Ukumbi wa Meeda jijini Dar es Salaam

Wacheza shoo wakicheza

Rapa Mkuu wa Bendi ya Extra Bongo, Frank Kabatano akiimba wakati wa onyesho la Bendi hiyo kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salaam

Mpiga Rythm, Mfaume Zablon akilichakaza Gitaa wakati wa onyesho hilo

Mpiga Tumba, Salum Chakuku akiwajibika wakati wa onyesho hilo.

Wacheza shoo wakicheza
Mpiga Solo, Adam Hassan akiwajibika katika kutua burudani

Chocky na waimbaji wake wakiimba

Mpiga Drums,Martine Kibosho akiwajibika wakati wa onyesho la Bendi hiyo kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salaam

Ally Chocky na wadau wa muziki,kutoka kulia ni Kalala Junia,Ndanda Kossovo
Wacheza shoo wakicheza
Mwalimu wa Waalimuni,Banza Stone akiimba
Wakicheza staili ya Katelelo


Wakicheza
Mtaalamu wa kila chombo cha muziki, Sebastian Ngosha akilichalaza Bass
 
Kiongozi wa wacheza shoo wa kike, Otilia Boniphace akionyesha manjonjo

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...