Thursday, June 28, 2012


Msanii wa Uganda, Jose Chameleone (pichani juu) jana alikamilisha taratibu zote za kusaini mkataba wa kufanya shoo kali Uwanja wa Taifa mpya, jijini Dar es salaam, siku ya sabasaba baada ya Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho, kutia timu Entebe jana. Pichani juu ni Chameleone akijigamba kufanya shoo na akisaini mkataba wa mwisho huku akishuhudiwa na meneja wake. Chameleone ametoa onyo kwa Diamond kuwa atamchakaza na Valuvalu!

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...