Sunday, February 5, 2012

MAIMATHA AFUNGA PINGU ZA MAISHA
Mtangazaji maarufu wa TBC television ya taifa Maimatha wa Jesse juzi alifunga pingu za maisha na kutoka katika chama cha ukapera na kuingia katika maisha ya ndoa sherehe iliofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Vip, Tunawatakia maisha mema katika maisha yenu mapya muwe wavumilivu katika shida na raha katika kuijenga familia yenu Mungu yuko nyuma yenu katika ndoa yenu hivyo msimuweke kando siku zenu zote za maisha yenu


Wageni waalikwa wakifuatilia jambo lililokuwalikiendelea siku hiyo iliojaa mastaa kibao wa nchini Tanzania

Flowerrrrrrrrs

Wakati wa burudani ulifika na mwanamuziki wa taarabu Dada yetu Hadija 
Kopa alitumbuiza katika harusi na kuleta burudani ya aina yake


Penny na Kajala Masanja kulia 

Penny


Kajala

Sajenti

Wamependeza jamani

Mainda

Hadija Kopa akifanya mambo yake

Hatariiiiii mwanamke nyonga shepu majaliwa

Flower

Kama kawaida ya madada zetu bize na simu 

Picha ya kumbukumbu

Pamoja tunawakilisha

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...