Thursday, January 26, 2012

MAZOEZI YAMEPAMBA MOTO KWA MAPROMOTA, WATANGAZAJI NA WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI TAYARI KUKABILIA NA TIMU YA BONGO MOVIE SIKU YA KESHO JUMA JUMAMOSI...


Watangazaji wa Praise Power wakiwa tayari kulianzisha boli 
 Mwimbaji Bony Mwaitege aliyevalia tarck na yuko kifua wazi akitafuta position

 Mchekeshaji Chavala (kulia) akiongea na baadhi ya wachezaji
 Wachezaji wakimsiliza kocha wao
Mwimbaji wa nyimbo za injili Bony Mwaitege akiwaweka sawa wachezaji wenzake kwa kuelezea baadhi ya madhaifu aliyoyaona.
 Wachezaji wakipata mawaidha kutoka kwa viongozi wao

 Blogger Rulea Sanga (alishika mpira) na yeye alikuwapo
Msikilizaji mkubwa wa Praise Power, Mama Abuu akiongea na wachezaji akiwemo Mtangazaji wa Praise Power Victor Haron (anayevaa soksi)


Kazi inasonga


Mzee wa Mablogi na website na grfix, Rulea Sanga akitoa huduma ya kwanza kwa mtangazaji wa Praise Power, Kisaka.
Mwimbaji wa nyimbo za injili, Musa Shabani akiwa na furaha ya kufa mtuac
Graphic Designer Rulea Sanga akimchua mchekeshaji wa Gospel, Chavala..baada ya kugongana na mchezaji mwenzake wakati wa mazoezi

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...