MAZOEZI YAMEPAMBA MOTO KWA MAPROMOTA, WATANGAZAJI NA WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI TAYARI KUKABILIA NA TIMU YA BONGO MOVIE SIKU YA KESHO JUMA JUMAMOSI...
Watangazaji wa Praise Power wakiwa tayari kulianzisha boli
Mchekeshaji Chavala (kulia) akiongea na baadhi ya wachezaji
Wachezaji wakimsiliza kocha wao
Mwimbaji wa nyimbo za injili Bony Mwaitege akiwaweka sawa wachezaji wenzake kwa kuelezea baadhi ya madhaifu aliyoyaona.
Wachezaji wakipata mawaidha kutoka kwa viongozi wao
Blogger Rulea Sanga (alishika mpira) na yeye alikuwapo
Msikilizaji mkubwa wa Praise Power, Mama Abuu akiongea na wachezaji akiwemo Mtangazaji wa Praise Power Victor Haron (anayevaa soksi)
Kazi inasonga
Mzee wa Mablogi na website na grfix, Rulea Sanga akitoa huduma ya kwanza kwa mtangazaji wa Praise Power, Kisaka.
Mwimbaji wa nyimbo za injili, Musa Shabani akiwa na furaha ya kufa mtuac
Graphic Designer Rulea Sanga akimchua mchekeshaji wa Gospel, Chavala..baada ya kugongana na mchezaji mwenzake wakati wa mazoezi
No comments:
Post a Comment