Sunday, March 13, 2016

UKIACHANA NA YANGA, WAKIMATAIFA WENGINE HAWA HAPA KUTOKA EFM SPORTS

Baadhi ya watangazaji wa kipindi cha E Sport kinachorushwa hewani kupitia kituo cha EFM, Mauld Kitenge, Maestro na Oscar, wakiwa ndani ya studio za SuperSport nchini Africa Kusini tayari kwa kusongesha ajira mpya kupitia kipindi cha Swahili La liga. 
Maestro akiwa ndani ya studio za SuperSport zilizopo nchini Afrika Kusini na Mauld Kitenge ambapo wamekuwa wakienda kila mwisho wa juma kwaajili ya kurusha laivu matangazo ya kiswahili kupitia SuperSport Swahili La liga. Wamedhihilisha kuwa na wao ni wa kimataifa kutokea Tanzania hadi Swahili La liga World of champions.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...