Friday, February 26, 2016

INFANTINO NDIYE RAIS MPYA WA FIFA



Rais mpya wa FIFA, Gianni Infantino ametoa ahadi ya kufanya kazi na wote na kurudisha heshima ya FIFA.

Matokeo ya raundi ya kwanza.

Sheikh Salman al-Khalifa (kulia) akiwa na Gianni Infantino (wa katikati) walioingia round ya pili.

Infantino ameibuka na ushindi wa kura 115 dhidi ya Sheikh Salman aliyepata 88.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...