Thursday, April 30, 2015

MUVI MPYA YA PISHU KUINGIA SOKONI KESHO

MUVI mpya ya Pishu kutoka Kajala Intertaiment & Baby Black Productions itakuwa sokoni kesho usikose kujipatia nakala yako kwani ndani yake utakutana mastaa wakali wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja, Hemedy Phd, Tausi, Senga na wengine kibao.
Kajala akiongea na mtandao huu amewaomba mashabiki wake na wapenzi wa filamu za Kibongo kutoikosa muvi hiyo itapatikana sehemu zote Tanzania kuanzia kesho.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...