Amber Rose alichopost kama ishara ya kutaka kurudiana na mume wake Wiz Khalifa
Aliyekuwa mke wa rapa Wiz Khalifa ‘Amber Rose’ ameweka hadharani
hisia zake za kutaka kurudiana na aliyekuwa mume wake rapa Wiz Khalifa
na kusema kuwa yeye ndio kipenzi cha maisha yake na kwamba bado
anampenda.
No comments:
Post a Comment