Friday, February 27, 2015

NI UKICHAA AU!!?? ANGALIA PICHA WAKIVUNJA AMRI YA SITA KATIKATI YA UWANJA WA TIMU YA CHARLTON

Ni laana sio jingine! Ndivyo unaweza kusema kutokana na tukio la aina yake, wapenzi wawili video yao kunaswa wakivunja amri ya sita katikati ya uwanja wa Klabu ya Charlton Athletic.
Timu hiyo imethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo lilitupiwa mtandaoni juzi Jumatano.
Picha hizo zinawaonyesha wawili hao wakiwa wamegandana katikati ya uwanja huo unafahamika kama Valley.
Mtu mmoja ambaye hakujatwa jina lake, alisema tukio hilo hilo ni la kweli na kitendo hicho kilitokea siku ya Jumanne.
Hata hivyo Charlton, imeijia juu mitandao kuwa ndio imeeneza tukio hilo, ambapo mpaka sasa ziadi ya watu milioni wametazama video hiyo.





Charlton kwa sasa ipo nafasi ya 16 kwenye Championship, pointi nane kutoka katika timu za kushuka daraja.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...