Muigizaji na mchekeshaji maaarufu wa Marekani, Robin Williams amejiua.
Mwili wake umekutwa nyumbani kwake California, Marekani Jumatatu Agosti
11, 2014.
Muigizaji huyo alikuwa hajitambui na hakuwa anapumua na hivyo kubainika kuwa alijiua kwa kukosa hewa. Williams alionekana nyumbani kwake mara ya mwisho mida ya nne usiku siku ya Jumapili.
Robin alipelekwa rehab mwezi uliopita kujizuia kunywa pombe. Alikuwa akihangaika kuacha kutumia cocaine na pombe katika miaka ya 80 lakini hakuwahi kunywa kwa miaka 20.
No comments:
Post a Comment