Saturday, June 21, 2014

AJALI YA KUTISHA YATOKEA LUGALO DAR

Magari mawili aina ya Coaster yanayosafririsha abiria kati ya Mwenge, Tegeta na Mbezi jiijini Dar, yamegongana na na kuua abiria wanaokadiriwa kufikia zaidi ya 10, ajali hiyo imetokea mchana huu eneo la Makongo. Mashahuda wa ajali hiyo wamesema kuwa uzembe uliofanywa na dereva wa daladala iliyokuwa ikitoka Tegeta ndiyo uliosababisha ajali hiyo, kwani alipita upande usiyo wake.

Kushoto ni gari ndogo aina ya Range Rover ambayo iligongwa na Daladala (kulia) iliyosababisha ajali hiyo


...Daladala hiyo inavyoonekana mara baada ya ajali…


Kushoto ni gari ndogo aina ya Range Rover ambayo iligongwa na Daladala (kulia) iliyosababisha ajali hiyo


...Daladala hiyo inavyoonekana mara baada ya ajali


Askari wa usalama akichukua maelezo eneo la tukio


...eneo la ajali linavyoonekana mchana huu.


Wananchi wakiwa eneo la tukio.

Gari ndogo aina ya Range Rover ambayo iligongwa na Daladala.



Baadhi ya miili ikiwa kwenye gari Hospitali ya Lugalo.


Daktari akiendelea kutoa huduma ya kwanza ndani ya gari la wagonjwa.

Mganga Mkuu wa Hospitali ya Lugalo, Brigedia Jeneral, Josia Mekere.

Madaktari wa Hospitali ya Lugalo wakiendelea kuwahudumia majeruhi.

Ndugu wakilia kwa uchungu baada ya kutambua miili ya ndugu zao.


Mzee aliyefiwa na mwanae akilia kwa uchungu.


...Baadhi ya maaskari na wananchi waliokuwa wakitoa huduma ya kwanza eneo la tukio.


Mtangazaji wa Global TV Online, Gabriel Ng'osha akiwa eneo la tukio.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...